• Picha ya pamoja katika uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti

    Picha ya pamoja katika uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti, Mugumu, mkoani Mara. ( Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka.

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Edson Makallo baada ya kupokea taarifa ya magari yaliyotaifishwa kutokana na Uhujumu Uchumi na kuhifadhiwa katika kituo cha mabasi cha zamani jijini Dodoma.

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini

MKUTANO WA SEKRETARIETI YA JUKWAA LA HAKI JINAI TAIFA

 


Kaimu Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa kesi na Uratibu wa Upelelezi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bi. Neema Mwanda akifungua Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa, ambae pia ni Mwenyekiti wa mkutano huo ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.



Kaimu Mkurugenzi msaidizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bw. Peter Maugo akitoa muongozo wa ratiba ya mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa unaofanyika leo tarehe 2 hadi 3 Agosti, 2021 katika Ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.

Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha St. John Dkt. Alfred Sebahene akiwasilisha mada juu ya uandishi wa taarifa katika Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.


Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha St. John Dkt. Alfred Sebahene akiwasilisha mada juu ya uandishi wa taarifa katika Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.


Wajumbe walioshiriki kwenye Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa wakifuatilia kwa umakini mada inayowasilishwa na Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha St. John Dkt. Alfred Sebahene (Hayupo pichani) katika Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.



Mkurugenzi wa Divisheni ya Urejeshaji wa Mali zinazohusiana na uhalifu, uhalifu wa kupangwa unaovuka mipaka kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bw. Paul Kadushi akiwasilisha mada juu ya uhalifu wa kimtandao katika Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.



Mwenyekiti wa Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa Bi. Neema Mwanda ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Kesi na Uratibu wa Upelelezi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakuu wa Mashtaka wa Mikoa walioshiriki kwenye Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.


Mwenyekiti wa Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa Bi. Neema Mwanda ambae pia Kaimu Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa kesi na Uratibu wa Upelelezi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe kutoka Taasisi mbalimbali walioshiriki kwenye Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.



Picha ya pamoja inayojumuisha Wajumbe wote walioshiriki kwenye Mkutano wa Sekretarieti ya Jukwaa la Haki Jinai Taifa ulioanza leo tarehe 2 Agosti, 2021 na kumalizika tarehe 3 Agosti, 2021 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.





Share:

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .