MAFUNZO YA UTUMIAJI WA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA KATIKA MASUALA YA KESI KWA WAKUU WA MASHTAKA WA MIKOA NA WILAYA PAMOJA NA WAENDESHA MASHTAKA VIONGOZI

 


Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Taifa Mashtaka Jijini Mwanza Bw. Idrisa Swalehe akifundisha namna ya kusajili taarifa za kesi kwenye mfumo katika Mafunzo ya Utumiaji wa Mfumo wa Kielektroniki wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka katika masuala ya kesi kwa Wakuu wa Mashtaka wa Mikoa na Wilaya pamoja na Waendesha Mashtaka Viongozi yanayofanyika Jijini Dar es Salaam katika ofisi za TAGLA zilizopo Chuo Kikuu cha Usimamizi wa Fedha (IFM)




Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya Utumiaji wa Mfumo wa Kielektroniki wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka katika masuala ya kesi wakimsikiliza Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Jijini Mwanza Bw. Idrisa Swalehe wakati akifundisha katika mafunzo hayo yanayofanyika Jijini Dar es salaam





Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya Utumiaji wa Mfumo wa Kielektroniki wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka katika masuala ya kesi wakimsikiliza Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Jijini Mwanza Bw. Idrisa Swalehe wakati akifundisha katika mafunzo hayo yanayofanyika Jijini Dar es salaam


Share:

No comments:

Post a Comment

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .