• Picha ya pamoja katika uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti

    Picha ya pamoja katika uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti, Mugumu, mkoani Mara. ( Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka.

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Edson Makallo baada ya kupokea taarifa ya magari yaliyotaifishwa kutokana na Uhujumu Uchumi na kuhifadhiwa katika kituo cha mabasi cha zamani jijini Dodoma.

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini

TUMEJIPANDA KUTOA HAKI KWA WANANCHI,BILA UONEVU WOWOTE.

 Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga amewahakikishia wananchi wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa upatikanaji wa haki baina yao bila uonevu wowote.

Akieleza hayo katika uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilayani humo, ikiwa ni lengo la kusogeza huduma karibu kwa wananchi walio wengi.

Aidha Bw. Mganga ameongeza kuwa lengo la kusogeza huduma kwa wananchi ni kuwa na utawala bora, kulinda haki na amani kwa kila Mtanzania na kupunguza malalamiko ambayo yamekuwa yakitolewa na wananchi walio wengi na kuahidi kuwashughulikia wale wote ambao wanavuruga usalama wa nchi yetu.

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi amepongeza jitihada hizo za kuhakikisha Ofisi hiyo inafunguliwa Wilayani hapo ambapo amesema kufunguliwa kwa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka imekuwa ni faraja kubwa kwa wananchi wa Taifa letu. Hivyo basi, anaamini wananchi wake watapata elimu ya kutosha juu ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, inafanyaje kazi na kuhakikisha haki inatendeka baina ya wananchi. Na pia Mhe. Jamhuri aliwaasa wananchi wake kuitumia vizuri Ofisi hiyo na kuhakikisha kutoa ushirikiano ipasavyo.

Kwa upande wake mmoja wa waandishi waliohudhuria hafla hiyo ameishukuru Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa kuwasogezea wananchi huduma hiyo kwa ukaribu zaidi na kuahidi kuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia wananchi kwani walikuwa wanasafiri umbali mrefu kufuata huduma hizo.


Naye kwa upande wake,Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Edson Makallo alitoa wito kwa Wakuu wa Wilaya waendelea kujitolea Ofisi  kwa ajili ya shughuli za uendeshaji wa Mashtaka kwani Ofisi zilizopo ni chache. "Hadi sasa tumefanikiwa kufungua jumla ya Ofisi za Wilaya 15, ukizingatia Ofisi ya Taifa ya Mashtaka zinapaswa kuenea jumla ya Wilaya 139".
Share:

UZINDUZI WA OFISI YA MASHTAKA WILAYA YA SERENGETI, MARA




 

Share:

MATUKIO YA PICHA YA UZINDUZI WA OFISI MPYA YA TAIFA YA MASHTAKA MUFINDI,IRINGA.

Mkurugenzi wa Mashtaka Bw, Biswalo Mganga akiwa na Mh.Jamhuri Wiliam wakikata utepe,kuashiria uzinduzi wa ofisi ya taifa ya Mashtaka wilaya ya Mafinga Mkoani Iringa katika hafla fupi iliyofanyika Makao Makuu ya Wilaya hiyo.
     Picha ya pamoja ya Meza kuu katika uzinduzi wa  hafla ya uzinduzi wa ofisi ya 
                                             Taifa ya Mashtaka ufindi Mkoani Iringa.


Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bw,Biswalo Mganga wakati akitoa neno katika hafla ya uzinduzi wa Ofisi hiyowilayni Mufindi Mkoa wa Iringa. 
Share:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Edson Makallo baada ya kupokea taarifa ya magari yaliyotaifishwa kutokana na Uhujumu Uchumi na kuhifadhiwa katika kituo cha mabasi cha zamani jijini Dodoma. Katika tukio hilo Mhe. Rais aliipongeza Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kusimamia mali za Serikali na kuhakikisha hazipotei.
Share:

Ukataji wa utepe katika uzinduzi


 

Share:

Uzinduzi wa

Share:

SHERIA


 

Share:

Uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti


Picha ya pamoja katika uzinduzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti, Mugumu, mkoani Mara. ( Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Edson Makallo, wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga, wa tatu kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Bw. Nurudini Babu, wa nne ni Mkurugenzi wa Halmashauri, na nyuma yao wakiwa pamoja na wakurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka 

Share:

Uzinduzi wa ofisi yetu nyingine


 Mkurugenzi wa ofisi ya Taifa ya Mashtaka akikata utepe katika uzinduzi wa ofisi yetu nyingine, Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Serengeti,Mugumu,Mkoani Mara.

Share:

Ofisi_ya_taifa_ya_mashtaka_tz



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Edson Makallo baada ya kupokea taarifa ya magari yaliyotaifishwa kutokana na Uhujumu Uchumi na kuhifadhiwa katika kituo cha mabasi cha zamani jijini Dodoma. Katika tukio hilo Mhe. Rais aliipongeza Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kusimamia mali za Serikali na kuhakikisha hazipotei. 

Share:

Uzinduzi wa ofisi ya mashtaka wilaya ya kahama

 

Tunawakaribisha wadau wetu wote pamoja na wananchi katika Ufunguzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilayani Kahama 03/09/2020

Share:

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .