MATUKIO YA PICHA YA UZINDUZI WA OFISI MPYA YA TAIFA YA MASHTAKA MUFINDI,IRINGA.

Mkurugenzi wa Mashtaka Bw, Biswalo Mganga akiwa na Mh.Jamhuri Wiliam wakikata utepe,kuashiria uzinduzi wa ofisi ya taifa ya Mashtaka wilaya ya Mafinga Mkoani Iringa katika hafla fupi iliyofanyika Makao Makuu ya Wilaya hiyo.
     Picha ya pamoja ya Meza kuu katika uzinduzi wa  hafla ya uzinduzi wa ofisi ya 
                                             Taifa ya Mashtaka ufindi Mkoani Iringa.


Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bw,Biswalo Mganga wakati akitoa neno katika hafla ya uzinduzi wa Ofisi hiyowilayni Mufindi Mkoa wa Iringa. 
Share:

No comments:

Post a Comment

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .