Home »
» Ofisi_ya_taifa_ya_mashtaka_tz
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Edson Makallo baada ya kupokea taarifa ya magari yaliyotaifishwa kutokana na Uhujumu Uchumi na kuhifadhiwa katika kituo cha mabasi cha zamani jijini Dodoma. Katika tukio hilo Mhe. Rais aliipongeza Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kusimamia mali za Serikali na kuhakikisha hazipotei.
No comments:
Post a Comment