
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini akiwa na Wakuregenzi wa idara mbalimbali toka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka akiendelea kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.
Na Mwandishi NPS
Mkurugenzi wa Mashtaka Bw Biswalo Mganga amewataka Wananchi kujiepusha na kujihusisha na biashara haramu ya upatu kwakuwa ni kosa la Jinai kwa mhamasishaji na mtoaji fedha.
Alisema vitendo vya ushiriki
katika biashara haramu ya upatu ( pyramid schemes) vinakiuka masharti ya Sheria
ya Benki na Taasisi za Kifedha Na.5 ya Mwaka 2006 inayokataza mtu yeyote
kupokea.miamala ya Kifedha kutoka kwa umma bila leseni na ni kosa la Jinai siyo
tu kwa anayehamasisha na kupokea fedha bali hata kwa wanaotoa fedha hizo.






No comments:
Post a Comment