DPP AWATAKA MAKATIBU SHERIA KUFUATA MAADILI YA KAZI

Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu akitoa neno la ufunguzi wa kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.

Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uendeshaji wa Kesi Bi. Neema Mwanda akitoa neno la kumkaribisha mgeni rasmi Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu kwa lengo la kufungua  kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu Sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.


Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Bw. Titus Mkapa akielezea malengo ya kukutana katika kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.






katika kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.



Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu Sheria wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu (hayupo pichani)  wakati akihutubia katika kikao hicho kilichoanza leo tarehe 17 hadi 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Jijini Dodoma.


Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya  Mipango Bw. Mussa Magunguli akiwasilisha mada juu ya Mipango, Bajeti na Taarifa za Utekelezaji katika kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala Bw. Leonard Mehta akitoa mada juu ya Wasilisho la Rasimu ya Mapendekezo ya Miundo ya Kiutumishi ya Makatibu Sheria katika kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu Sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.













Picha ya pamoja ikijumuisha Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu (katikati), Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Bw. Titus Mkapa (kulia), Kaimu Naibu Mkurugenzi ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uendeshaji wa Kesi Bi. Neema Mwanda wakiwa na Makatibu Sheria kutoka Mikoa na Wilaya mbalimbali  walioshiriki katika kikao kazi cha Mkurugenzi wa Mashtaka na Makatibu sheria kilichoanza leo tarehe 17 Disemba, 2021 hadi tarehe 18 Disemba, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma.








Share:

No comments:

Post a Comment

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .