Rais wa Umoja wa Waendesha Mashtaka kanda ya Afrika Mashariki ( East Africa Association of Prosecutors), ambae pia ni Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania Bw. Sylvester Mwakitalu akihutubia Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Waendesha Mashtaka wa Afrika na Ukanda wa Bahari ya Hindi unaofanyika Mombasa, nchini Kenya.
Mkutano huo unalenga kujadili ,masuala mbalimbali ikiwemo Mikakati ya pamoja ya kupambana na Uhalifu unaoibuka pamoja na Makosa ya Kupangwa yanayovuka Mipaka.







No comments:
Post a Comment