Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mkewe


Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza katika kesi ya Jinai Na.137/2018 mbele ya Mhe. Jaji J.C Tiganga imemtia hatiani mshtakiwa Mwita Mgaya Nyamtiba kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kukusudia kumuua mkewe Christina Mwita Mgaya.

Akiielezea Mahakama Wakili wa Serikali Bw. Nimrod Byamungu amesema kuwa, tukio hilo lilitokea mnamo tarehe5, Januari 2018 katika Kijiji cha Kitagasembe  Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara ambapo mshtakiwa alimuua marehemu kwasababu alikuwa anamzuia kuuza ardhi ya familiya kwa ajili ya kuoa wake wengine pamoja na kunywa pombe.
Marehemu aliuawa kwa kuchinjwa shingo na kukatwa usoni kwa kutumia panga.

 

Share:

No comments:

Post a Comment

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .