OFISI YA MASHTAKA
  • Home
  • UONGOZI
  • HISTORIA
  • JARIDA
  • VIDEO
  • MAONI USHAURI
  • MAWASILIANO
Home » » Wahukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya

Wahukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya

OFISI YA TAIFA YA MASHTAKANovember 17, 2020 No comments

 


Mahakama Kuu ya Rushwa na Uhujumu Uchumi  Dar es Salaam katika kesi ya Uhujumu Uchumi  namba 14/2018 mbele ya Mhe. Jaji Banzi imewatia hatiani washtakiwa Nabibarkhshsh Pribakhsh na Mohamaddhanif Nazirahmad Dorzade kwa kosa la kupatikana na Madawa ya Kulevya aina ya Heroin Hydrochloride kiasi cha Kilogramu 111.2 na Gramu 451.7 za Bangi na kuwahukumu kwenda jela kifungo cha miaka thelathini  pamoja na kutaifisha jahazi ambalo walitumia kutenda kosa hilo

Shauri hili limeendeshwa na Mawakili wa Serikali Monica Mbogo, Cecilia Shelly, Batilda Mushi  na Clara Charwe

Aidha, mahakama imewaachia huru watuhumiwa kumi na moja (11) katika kesi hiyo ambao majina yao ni
Abdullah Khatoon Sahib,
Ubeidulla Gulamzade Abdi, Naim Baltik Ishqa
Moslem Amiree Golmohamad,
Rashid Badfar, Omary Dorzade Ayoub, Tahir Bishkar Mubarak,
.Abdulmajid Asqan Pirmuhamad,
Ally Abdallah Ally,
Juma Amour Juma,
Omari Saidi Mtangi. 
Mbele ya Mh Jaji Banzi. Mahakama imemtia hatiani Nabibarkhsh Pribakhsh na Mohamaddhanif Nazirahmad Dorzade ambao walikuwa ni miongoni mwa washtakiwa katika shauri hilo. Hata hivyo upande wa Mashtaka haujaridhishwa na Maamuzi ya Mahakama ya kuwaachia huru  Washtakiwa hao na umekata rufaa kupinga hukumu hiyo.





Share:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
← Newer Post Older Post → Home

No comments:

Post a Comment

Social Profiles

TwitterFacebookGoogle PlusInstagramRSS FeedEmail
  • Popular
  • Tags
  • Blog Archives

Pages

  • Home
  • MAONI USHAURI
  • JARIDA
  • MAWASILIANO
  • VIDEO
  • MAAFISA TRA NA BENKI WALIOACHIWA HURU NA MAHAKAMA YA KISUTU WATIWA HATIANI KWA KOSA LA UTAKATISHAJI FEDHA
     Mahakama ya Rufani imetoa hati ya kuwakamata na kuwaweka  rumande washtakiwa wanne, akiwamo aliyekuwa mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanza...
  • UKATILI WA KIJINSIA UATHIRI AFYA NA UCHUMI WA TAIFA - NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA.
    Baadhi ya Wakuu wa Mashtaka kutoka Mikoa na Wilaya zote Tanzania bara wakiendelea kufuatilia hotuba ya ufungaji wa Mafunzo ya kuwajengea uwe...
  • WASHTAKIWA 57 WAFUTIWA MASHTAKA GEREZA LA KAYANGA-KARAGWE MKOANI KAGERA WATAKIWA KWENDA KUWA RAIA WEMA
    Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bw Amon Mpanju ,Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga   ...

Labels

  • DAR ES SALAAM (8)
  • DODOMA (3)
  • KAGERA (2)
  • KIGOMA (1)
  • KITAIFA (2)
  • LINDI (1)
  • MARA (2)
  • MOROGORO (4)
  • mwanza (1)
  • njombe (1)
  • SERENGETI-MARA (1)
  • SINGIDA (2)

Blog Archive

  • ► 2025 (24)
    • ► October (3)
    • ► May (5)
    • ► March (11)
    • ► February (5)
  • ► 2024 (35)
    • ► December (6)
    • ► November (6)
    • ► October (4)
    • ► September (3)
    • ► August (1)
    • ► June (1)
    • ► May (3)
    • ► April (1)
    • ► March (7)
    • ► January (3)
  • ► 2023 (17)
    • ► November (1)
    • ► September (2)
    • ► August (2)
    • ► July (2)
    • ► May (3)
    • ► April (3)
    • ► March (2)
    • ► February (2)
  • ► 2022 (24)
    • ► December (1)
    • ► November (1)
    • ► October (1)
    • ► August (3)
    • ► July (2)
    • ► May (4)
    • ► March (4)
    • ► February (4)
    • ► January (4)
  • ► 2021 (36)
    • ► December (2)
    • ► November (5)
    • ► October (1)
    • ► September (3)
    • ► August (1)
    • ► July (1)
    • ► June (4)
    • ► May (4)
    • ► April (3)
    • ► March (2)
    • ► February (3)
    • ► January (7)
  • ▼ 2020 (26)
    • ► December (7)
    • ▼ November (8)
      • WASHITAKIWA 16 WA UJANGILI WAFUNGWA MIAKA 20 HADI ...
      • DPP ATOA MAELEKEZO KWA TAKUKURU NA DCI KUKAMILISHA...
      • DPP AWAONYA WAUZAJI WANAOFICHA VIFAA VYA UJENZI
      • MKURUGENZI WA MASHTAKA AZINDUA TOVUTI YA CHAMA CH...
      • Wahukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la kukutwa na ma...
      • Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua m...
      • Jaji wa Mahakama Kuu Mhe. Edwin Kakolaki (kushoto)...
      • Jaji wa Mahakama Kuu Mhe. Edwin Kakola akishirikia...
    • ► October (11)

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .
  • Loading...
  • Loading...
  • Kitengo cha TEHAMA

    Lengo: kutoa utaalamu na huduma kwa matumizi ya TEHAMA ; Kitengo hiki kitakuwa na majukumu yafuatayo: (i) Kutekeleza mpango mkakati wa TEHAMA na Serikali Mtandao; (ii) Kuendeleza na kuratibu mifumo TEHAMA kwa kushirikiana na wakala ya serikali mtandao;. (iii) Kuhakikisha kwamba vifaa na programu za TEHAMA zinasimamiwa na kutunzwa (iv) Kuratibu na kutoa msaada katika ununuzi wa programu na vifaa vya TEHAMA; .
Copyright © OFISI YA MASHTAKA
-