DPP KUFUNGUA OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA WILAYANI KARAGWE MKOANI KAGERA JANUARI 21

 

Katika kuhakikisha kuwa huduma za Mashtaka zinazosegezwa karibu na wananchi Mkurugenzi wa Mashtaka Bw Biswalo Mganga anatarajia kuzindua ofisi ya Taifa ya Mashtaka wilayani  Karagwe Januari 21 ikiwa ni  sehemu ya kusogeza huduma karibu na wananchi 

Tembelea Mitandao yetu ya Kijamii 

Youtube Mashtaka tv , Instagram, Blog na  Website www.nps.go.tz 

Share:

No comments:

Post a Comment

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .