WAKUU WA MASHTAKA WA NCHI ZA AFRIKA NA NCHI ZA KIARABU WAKUTANA MISRI KWA MARA YA KWANZA..

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wakuu wa Mashtaka barani Afrika ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mashtaka wa Tanzania Ndugu Sylvester Mwakitalu  akihudhuria Mkutano wa Kamati ya Uongozi wa Umoja wa Wakuu wa Mashtaka barani Afrika unaofanyika  katika jiji la Cairo nchini Misri.

Mkutano huu unafanyika sambamba na Wakuu wa Mashtaka wa nchi za Kiarabu na unahudhuriwa na jumla ya washiriki 120 kutoka nchi za Afrika na za Kiarabu
 Ni kwa mara ya kwanza Wakuu wa Mashtaka wa Afrika na  Nchi za  Kiarabu wanafanya Kongamano pamoja kabla ya kila Umoja kufanya Mkutano wake .

Share:

No comments:

Post a Comment

Labels

Recent Posts

MKURUGENZI WA MASHTAKA

MKURUGENZI WA MASHTAKA AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA VURUGU ASEMA NCHI INAPASWA KUWA SALAMA WAKATI WOTE Contact me .